Amen Lyrics by Nedy Music – Download Mp3 Audio
Amen
Amen
Mmmm
Na na na na
Na na na na
Verse One
Maisha safari dunia njia tunapita tu
Kiachana afadhali ongeza nia utafika tu
Walishaniomba lifti kinyonge iyee iyee
Nikawapa tough wasonge iyee iyee
Wakaniita kavu mi mnyonge
Walionipa ndoa ndo wale wale wapora tonge
Kodi baba saidia
Kwenye miba palilia
Kwenye shimo yafukia
Huenda nikapona donda
Sina nongwa sina choyo
Nani mganga itabiri hii nyota yangu
Sina meno kibogoyo
Mswaki wa nini kinywani mwangu
Wala thamani wanipiga kazongo
Kitambi cha masikini kivyongo huwa na shombo
Maneno neno mengi ya uongo
Mpemba nisifike malengo huwa nakabaa
Chorus
Amen
We omba dua kesho usichoke yatatimia
Amen
Weka yako nia mola wako anakusikia
Amen
Fumba macho pia na amini utafanikiwa
Amen
Riziki mafungu saba na lako utafikishiwa
Verse Two
Walishanitangaza sambaza
Kwa mabaya nikanyimwa mema
Wakanipakaza kujaza
Uzuri nimenyimwa sema
Ole na unyonge wangu
Ukoje binti Juma asante sana mama
Salamu ndio natuma nakupenda sana
Kwanza moja sio ujinga
Ukiamini ipo siku utashinda
Japo wapo wanaopinga
Pambana kazana eeh
Sina nongwa sina choyo
Nani mganga itabiri hii nyota yangu
Sina meno kibogoyo
Mswaki wa nini kinywani mwangu
Wala thamani wanipiga kazongo
Kitambi cha masikini kivyongo huwa na shombo
Maneno neno mengi ya uongo
Mpemba nisifike malengo huwa nakabaa
Chorus
Amen
We omba dua kesho usichoke yatatimia
Amen
Weka yako nia mola wako anakusikia
Amen
Fumba macho pia na amini utafanikiwa
Amen
Riziki mafungu saba na lako utafikishiwa
Amen Amen Amen Amen
Amen Lyrics by Nedy Music
ALSO, SING TO – Corona Lyrics – Beka Flavour