Home NEWS Ayeye Lyrics – Linex Sunday Mjeda – New Song 2020

Ayeye Lyrics – Linex Sunday Mjeda – New Song 2020

0
Ayeye Lyrics

Ayeye Lyrics – Linex Sunday Mjeda

Ayeye Lyrics Verse One

Usivunjike moyo haya majina tu yanapita
Kuna life after fame
Huna haja ya kunikataa
Tuianze safari nitakula kiapo
Cha utiifu na ukweli, Ayeye, eeeh

Natamani niwe nawe, milele
Natamani mbingu na ardhi
Ziwe shaidi wangu mie

Sio kwamba nakuomba ndoa
Kwa sababu umri wangu unakwenda
Nimeshakwepa mishale mingi
Ndio maana wazi nasema nakupenda, yeyeye

Nimeoneeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Nimeoneeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Hello, beautiful It’s you I’ve been looking for, ooh

Chorus

Nikifaulu maisha
Baby uwe nyuma yangu, Ayeye yee
Kwenye misango ya mawazo, aaaaa aaahh
Nisiwe peke yangu, Ayeye yee

Verse Two

Nisiwe jeshi la mtu mmoja
Nikishiba nimsahau Mwenyeza, Ayeye yee
Maisha ni ya mafupi
Twende wakati wetu tukawe sabakina, Ah ah ah
Kuja niwe na mfetu Uwe na mfetu, Ah ah ah Uwe na mfetu

Natamani niwe nawe, milele
Natamani mbingu na ardhi
Ziwe shaidi wangu mie

Sio kwamba nakuomba ndoa
Kwa sababu umri wangu unakwenda
Nimeshakwepa mishale mingi
Ndio maana wazi nasema nakupenda, yeyeye

Nimeoneeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Nimeoneeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Hello, beautiful It’s you I’ve been looking for, ooh

Credit: Linex Sunday Mjeda

SING ALSO TO: Why Now Lyrics – Navy Kenzo – New Song 2020

Leave a Reply