Contents
Bambika Lyrics – Bahati Ft Ethic Entertainment – Download Mp3 Audio
Verse One
Motif Di Don
Rada safi yaani basi bambi bambika
Na ju sijali ni wazi
Mi nisha bambi bambika
Ati ati ati bambi bambika ka
Bambi bambika
Ati bambi bambika ka
Bambi bambika
Tuko na Mola tunajiachilia leo
Bahati Ethic iwafikie leo
Bambi bambika ka
Bambi bambika
Ati bambi bambika ka
Bambi bambika Ee
Verse Two
Karibu kwa hii party leo
Tunauza imani bila money leo
Ametutoa mbali huyo
Uliza hata Swat hatuwachi leo
Niko chupri, niko chupri kwa pori
Mboka lazma itachapwa si worry
Kwa dimanga siwezi rudi ni ngori
Cheda sakwa uza meda sichoki
Na kachoki ni ka konki katoti
Ka ni babi amedai atacheza
Ka ni gwangi ni lazima achezewe
Pewa pewa saksuliwa perembwa
Chorus
Bambi bambika ka
Bambi bambika
Ati bambi bambika ka
Bambi bambika Ee
Tuko na Mola tunajiachilia leo
Bahati Ethic iwafikie leo
Ati ati ati bambi bambika ka
Bambi mbambika
Ati bambi bambika ka
Bambi bambika
Verse Three
Ni mucheki na konyagi kukanyagia
Kam ucheki na konyagi nakanyonga
Buda kukacheki muda kukafisia
Eh juzi Suzzy akamkazia
Eeh ka ni pedi nieke tatu ntakupata
Ka ni lady heri pesa kwa kibanda
Niki dredi nizipande fertilizer
Tukimedi kwa kinganya tukikata
Ka ni mboka bana sitakaokota
Noki mbele mbele ustun kaokota
Na ka ni family nadai son daughter
Round ya stick tatu tatu ka mbota
Penda starehe sa utaree
Huwezi bargain starehe
Pum hoolidad natoka upande wa starehe
Mi ni born starehe
Sin huwa sin nikakam kucelee
Chorus
Rada safi yaani basi bambi bambika
Na ju sijali ni wazi
Mi nisha bambi bambika
Ati ati ati bambi bambika ka
Bambi bambika
Ati bambi bambika ka
Bambi bambika
Tuko na Mola tunajiachilia leo
Bahati Ethic iwafikie leo
Everybody leo
Fungua Radio ni leo
Leo, collabo of the year ni leo
Leo, fungua radio ni leo
Collabo of the year ni leo
Ati ati ati bambi bambika
Bambika Lyrics Credit – Bahati and Ethic Entertainment
ALSO, SING TO – Kata Lyrics – Matata – Official Music Lyrics