Home GENERAL Bwana wa Mabwana Lyrics – Zzero Sufuri

Bwana wa Mabwana Lyrics – Zzero Sufuri

by Louis
Bwana wa Mabwana Lyrics by Zzero Sufuri

Contents

Bwana wa Mabwana Lyrics by Zzero Sufuri – Download Mp3 Audio

Apewe Sifa Apewe Sifa
Apewe Sifa

Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Yeah yeah yeah
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana leo ainuliwe

Verse One

Cheki mi kanitoa juu ya dhambi
Arogoshwe mwathani
Kunifikisha mahali singedhani
Akaniandalia sahani
Wakati kwangu haipatikani
Na bado akujenge we jirani

Kwangu hali ni ghali
Sinanga biz mi hupiga biz
Nipate tu ganji
Ngori ni mob sir God
Na bado mahitaji

Upate hadi umewekelewa
Lawama juu ya mshikaji
No wonder at times
Unajiuliza kwani ni aje

Baba ninakupenda
Asante sana baba
Mwokozi wangu
Maana mimi
Mimi sitaona haya

Kusema wewe wangu
Na mimi wako
Baba mi nakupenda sana
Nisaidie nisaidie baba

Chorus

Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Yeah yeah yeah
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana leo ainuliwe

Verse Two

Naweza piga look safi kienda church but
Doo sina doo sina na hizo vitu hufai kunijudge
Na bado we sina we sina
Sa chunga vile unasema mshene ukipewa
Kumbuka si mtu pia anaga hewa
Usiishi nika ni jela freedom umepewa
Tenda wema nenda zako si ivo ndo walisema

Baba mi nakupenda sana
Nisaidie nisaidie baba

Chorus

Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Yeah yeah yeah
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana leo ainuliwe

Verse Three

Nitamuimbia nani Nitamuimbia Yesu
Nitamuimbia nani Nitamuimbia Yesu

Naweza piga look safi kienda church but
Doo sina doo sina na hizo vitu hufai kunijudge
Na bado we sina we sina
Sa chunga vile unasema mshene ukipewa
Kumbuka si mtu pia anaga hewa
Usiishi nika ni jela freedom umepewa
Tenda wema nenda zako si ivo ndo walisema

Chorus

Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Yeah yeah yeah
Bwana wa mabwana leo ainuliwe
Bwana wa mabwana
leo ainuliwe

Bwana wa Mabwana Lyrics by Zzero Sufuri

ALSO, SING TO – El Shaddai Lyrics – H Art The Band Ft Cedo

Related Posts