Home NEWS Deka Lyrics – Billnass and Marioo – New Song 2020

Deka Lyrics – Billnass and Marioo – New Song 2020

0
Deka Lyrics

Deka Lyrics By Billnass and Marioo

Deka Lyrics Verse One

Oh nakuvizia tukeshe nasubilia tutete
Nakuvisia tusepe napulizia Mtete
Watakususia mkweche Nitakuzugia na pete
Si unajua vile mi niko hoi hali tete

Wapo walosema kwamba sipigi show
I wish you know wasikushawishi doo
Habari zao zakua, sitishi hivyo
Charge empty kila suka yani baterry low

Aah leo una vibe tukale fresh juice
Mi mgonjwwa we tabibu njo unitibu one stress nice
Nitakuwa mjinga niki messi messi
Ulikua nami toka sina kitu  enzi napiga deshi deshi

Chorus

Me sijaambiwa nikwambie
Ila moyo utani-tetereka
Ukiwa mbali na mie
Upweke uta nitetemesha

Furaha yako niachie,
Iko mikono salama deka mmh
Utakacho niambie ohh baby

Tekuma tekuma deka
Tekuma tekuma deka
(Deka ukiwa na mimi tu)

Tekuma tekuma deka
Tekuma tekuma deka
(Deka ukiwa na mimi tu)

Deka Lyrics Verse Two

Aaah don’t let them fool you (fool you)
Kisa umenipenda mimi huyu (huyu)
Mapenzi ya dhati na hiisa ulikwa nayo toka kitambo
Na mengi uka hadithia, tunawezaje ikawa mipango

Since day one niko na plan kichwai
Nimilki mjengo na bonge la wife kwa ndani
Why so utani wife waku vibe kanisani
Sio yule wife wa stamina alisepa nyumbani

Mapenzi ni yetu yetu,
Na sisi kivyetu vyetu
Yani kama chuga baridi yetu yetu

Chorus

Me sijaambiwa nikwambie
Ila moyo utani-tetereka
Ukiwa mbali na mie
Upweke uta nitetemesha

Furaha yako niachie,
Iko mikono salama deka mmh
Utakacho niambie ohh baby

Tekuma tekuma deka
Tekuma tekuma deka
(Deka ukiwa na mimi tu)

Tekuma tekuma deka
Tekuma tekuma deka
(Deka ukiwa na mimi tu)

Oooh ooh
(Deka ukiwa na mimi tu)
Oooh ooh
(Deka ukiwa na mimi tu)

COVID 19 Lyrics By JUX and Maua Sama

Deka Lyrics By Billnass and Marioo – Download Mp3 Audio

Leave a Reply