Home NEWS Genge Lyrics – Y Prince

Genge Lyrics – Y Prince

0
Genge Lyrics

Genge Lyrics by Y Prince

Intro Chorus

Genge genge,
Mi nalifeel si genge
Genge genge,
Kwa ndugu na jirani

Genge genge,
Nalifeel si genge
Genge genge,
Unaogopa jamaaa

Verse One

Kwachu kwachu, pachu pachu
Kila siku badu badu
Umoja wa genge ni kwangu

Peku peku tena bila viatu
Na kibwebwe kiunoni
Umoja wa genge ni kwangu

Nilijua ni wenzangu
Kumbe ni adui zangu
Walimwengu hulka haina dawa

Kutwa maneno mengi gengeni
Stori nyingi jamani
Kulipa pesa foleni
Ah lipeni madeni

Chorus

Genge genge,
Mi nalifeel si genge
Genge genge,
Kwa ndugu na jirani

Genge genge,
Nalifeel si genge
Genge genge,
Unaogopa jamaaa

DOWNLOAD Y PRINCE GENGE AUDIO

Verse Two

Mbona wanaulizana
Y naringia nini
Wakataka ukate pole china li ndani

Kukopa vibiringanya
Wale wanazuru nini
Ila maneno maneno

Wanadamu wamezoea
Hata ufanye nini, hutoa ubaya
Ah hapa gengeni kutwa kujikalia
Kwa stori za ngoma vijora ni haswa

Chorus

Genge genge,
Mi nalifeel si genge
Genge genge,
Kwa ndugu na jirani

Genge genge,
Nalifeel si genge
Genge genge,
Unaogopa jamaaa

Verse Three

Ah mtaa wa tatu amechambwa mtu (Amechambwa)
Mtaa wa tatu amechambwa mtu
Ah mtaa wa pili amechambwa mtu (Amechambwa)
Mtaa wa pili amechambwa mtu

Ah mtaa wa kwanza amepiwa mtu (Amepigwa)
Mtaa wa kwanza amepigwa mtu

Genge Lyrics by Y Prince

ALSO, SING TO – Pepea Lyrics – Hamadai

Leave a Reply