Contents
I am Sorry Lyrics – One Six Ft Stamina – Download Mp3 Audio
Verse One
Eeh baby I wanna talk to you my sweet love
Najua nimejikwaa lakini kuteleza sio kuangukaa
Alafu baby kwa kukucheat some cheat like a freestyle
Kweli kwa kukukiss makiss ya kisnitch
And you still remember ulivyosema nakupenda nakumbuka
Zile promise kujenga maisha yetu yainuke tusije juta
Aah ah laiti kama ungalikwenda na kurudi ungenirudiaa
Narejea kupiga goti sina budi hee
Chorus
Come back come back, come back my love
Come back come back, come back my love
I am sorry, baby I am sorry,
Come back, my love
I am sorry, baby I am sorry,
Come back, my love
I am sorry, baby I am sorry
Come back, my love
I am sorry, I am Sorry
Verse Two
Yeah, ah najua kosa ni kucheat nisamehe mama mia
Kama chanzo ni pombe usijali nisha acha beer
Nina mwili mbovu nipe service my dear
Ona moyo umeshazima hauwaki tena kwenye gear
Heee relax
Usijali wakikupa umbea wakisema mi ni player waulize wapi nachezea
Sasa wivu wa nini maugomvi ya nini
Achana na hawa wenzako wenye uzuri wa mia tatu sitini
Nilikupa kadi ya i am sorry hautaki unataka ya mchango
Nikaleta mpaka mshenga bado ukamfungia mlango
Hivi unataka ndoa? mmh acha utani
Kama unataka maua sema nilete bustani
Rudisha moyo wako nyuma ila wewe twende mbele
Ili siku ya harusi wapige vigelegele
Kama alisamehewa yuda wakati alimuuza yesu
Sisi ni nani hebu tuenjoy mapenzi yetu mama
Chorus
Come back come back, come back my love
Come back come back, come back my love
I am sorry, baby I am sorry,
Come back, my love
I am sorry, baby I am sorry,
Come back, my love
I am sorry, baby I am sorry
Come back, my love
I am sorry, I am Sorry
I am Sorry Lyrics – One Six and Stamina
ALSO, SING TO – Ujitume Lyrics – Ally Mahaba Ft Akeelah – New Song 2020