Kata Lyrics – Matata – Download Kata by Matata audio
Ni birthday ni party ni yako
Na maji tunakata juu yako
Ma cookie na ma cake ni zako
We kam tu na Caro pitanga uki
Kata kata kata kairetu kata
Kata usiogope leo tuna party
Watu waokote
Kata kata kata kairetu kata
Kata usiogope leo tuna party
Watu waokote
Verse One
Leo Leo leo ni leo leo
Ile siku,
Dudu hugeuka, kipepeo
Ile siku
Paka huswing na kibembeo
Ile siku hadi dogi zi huwika weaw meaw
Nina doo za kuthrow form ni how how
Mr look look swag ya ki bow wow
Sio masoo ni mangiri mathao thao
It’s your bash make a wish blow my candle
Nimecome na zawadi kila aina
Ma cologne na ma cladi za designer
Kabla twende bash kwanza twende diner
Machapo machipo na take out za ki china
Alafu Leo Dunga zile zina bana
Zenye mafisi wakiona, Yes bana
Alafu tip toe kidogo sio sana
Mwambie aliyekuzaa tumesema asante sana
Chorus
Ni birthday ni party ni yako
Na maji tunakata juu yako
Ma cookie na ma cake ni zako
We kam tu na Caro pitanga uki
Kata kata kata kairetu kata
Kata usiogope leo tuna party
Watu waokote
Kata kata kata kairetu kata
Kata usiogope leo tuna party
Watu waokote
Verse Two
Kairetu ka ni keki kata
Nakupata party umedunga bata
Unakata maji we ni drunken master
Kiuno spaghetti na mimi ni paster
Githeri ya mary wa nyeri Aaah
Sherehe na Njeri Ndumberi Aaah
Puliza candle wish I come true
peng ting me na handle age ni number tu
Sijaitwa bash nimekam kimangoto
Zikishika nakwama kiroboto
Na mzinga mi si buy mi si msoto
Ka ni ngori sijajaa juu ya toto
Wanapiga mboto matata kwa mtaa
Nashinda loto nabado unakataa
Leta champagne na chupaa za Belaire
Dufo mpararo leo tunaogelea
Chorus
Ni birthday ni party ni yako
Na maji tunakata juu yako
Ma cookie na ma cake ni zako
We kam tu na Caro pitanga uki
Kata kata kata kairetu kata
Kata usiogope leo tuna party
Watu waokote
Kata kata kata kairetu kata
Kata usiogope leo tuna party
Watu waokote
Kata kata kata kairetu kata
Kata usiogope leo tuna party
Watu waokote
Kata kata kata kairetu kata
Kata usiogope leo tuna party
Watu waokote
Kata Lyrics Credit – Matata
ALSO, SING TO – Mwiituasa Lyrics – Akothee – Official Music Lyrics