Home NEWS Kilio Lyrics – Dj Seven Ft Ruby

Kilio Lyrics – Dj Seven Ft Ruby

0
Kilio Lyrics by Dj Seven and Ruby

Kilio Lyrics by Dj Seven and Ruby – Download Mp3 Audio

Niko nje umeificha funguo
Mkatili umenivua na nguo
Sina jipe kimebaki kilio
Kilio, kilio, kilio

Nimeumia umenikata sikio
Nikawa nacho ambiwa sisikii oooh
Mwishowe nikaja nikaambulia kilio
Kilio, kilio, kilio

Ina maana sikuwahi tena
Zile ahadi zimegeuka upepo na
Zimepepea, pepea pepea

Ina maana hulioni tena na
Lile penzi limegeuka upepo na
Linapepea, pepea pepea

Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukisomewa una mbele hutazami nyuma
Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukizomewa una mbele hutazami nyuma

Kilio, ooh ooh Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh Kilio, ooh ooh

Nimekuwa mnyonge si unaona
Ulichotaka kimekuwa ona
Hadi nafsi yangu inasonona
Aaah aaah

Nimekuwa mnyonge si unaona
Ulichotaka kimekuwa ona
Hadi nafsi yangu inasonona
Oooh ooooh

Imebaki nimekuwa zoba
Kosa langu kukuweka moyoni
Eeeh

Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukisomewa una mbele hutazami nyuma
Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukisomewa una mbele hutazami nyuma

Kilio, ooh ooh Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh Kilio, ooh ooh
Ooooh

Kilio, ooh ooh Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh Kilio,
ooh ooh

Kilio Lyrics by Dj Seven and Ruby

ALSO, SING TO – Tamba Lyrics – Mbosso

Leave a Reply