Contents
Mahabuba Lyrics – Masauti – Download Mp3 Audio
Verse One
Mshukuru Mola manani
Alokulete duniani
Na pia washukuru wazazi
Walivyokulea
Wako wengi walokutamani
Wasotaka kukuoa
Lakini ukajitenga kimwari
Nazo fikira hukutekwa
Mambo mengi walishaongea
Eti wewe hunifai
Na majina wakakupatia
Eti kicheche mtaa
Kwani mimi ndo naye tambua
Kwangu beiby we ni nani
Maneno yao hayatatutishia
Kwangu beiby umefika
Chorus
Wewe ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
Nakupenda sana
Verse Two
Mashallah umeumbwa tena ukaumbika
Sura yenye kung’ara umbo nayo wapendeza
Na mapenzi wayajua kupeti peti mama
Manukato yakilowa, wanukia mama
Kwa kweli nimepata
Mapenzi ya asali
Siishi kujilamba
Mwangu kingajani
Na wala kwako sitatoka, nitatulia wangu mama
Unimbembeleze, unidekeze
Na wala kwako sitatoka, nitatulia wangu mama
Unimbembeleze
Chorus
Wewe ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
Nakupenda sana
Verse Three
Wacha waseme ni wewe
Moyo umechagua mwenyewe
Wacha waseme ni wewe
Hao wacha wawe legelege
Wacha waseme ni wewe
Moyo unachagua mwenyewe
Wacha waseme ni wewe
Hao wacha wawe legelege
Chorus
Wewe ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
Nakupenda sana
Wewe ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
We ni wangu,
mahabu mahabu mahabuba
Nakupenda sana
Mahabuba Lyrics Credit – Masauti
ALSO, SING TO – Next Lyrics – Chris Kaiga – New Song 2020