Home GENERAL Makasiriko Lyrics – Naiboi – New Song 2020

Makasiriko Lyrics – Naiboi – New Song 2020

by Louis
Makasiriko Lyrics

Contents

Makasiriko Lyrics – Naiboi

Usibishane na babu wewe
Aaah Uuh yeah Ilogos music yeaah Nai Nai Kwani bosss

Intro Chorus

Hii mwaka haitaki makasiriko
Aa basi punguza alarm
Hii mwaka haitaki makasiriko
Sielewi mbona una jam

Hii mwaka haitaki makasiriko
Aya pewa kwa bill yangu
Hii mwaka haitaki makasiriko
Nausi tangazie watu

Makasiriko Lyrics Verse One

Kuna sampuli flani ya watu boom
Wanakuaga na roho chafu yeah
Aa Wanajifanya mbele ya watu
Eti marafiki kumbe ndani nimachatu

Aa basi punguza feeling
Vitu zingine hazinaga meaning
Ya mvua unajua dalili
Aa Nishaona mbele niko gangari Gangari eeh

Back stabber dem a back stabber
Wanakukulia bila kutumia rubber, mafala
Itabidi leo tuwatoke ki design
Fitina fitina na resign  Nai Nai

Chorus

Hii mwaka haitaki makasiriko
Aa basi punguza alarm
Hii mwaka haitaki makasiriko
Sielewi mbona una jam

Hii mwaka haitaki makasiriko
Aya pewa kwa bill yangu
Hii mwaka haitaki makasiriko
Nausi tangazie watu

Makasiriko Lyrics Verse Two

Hii mwaka sibishani mara mbili
Vitu zingine uchokesha akili
Hii mwaka nimechorea ma pressure
Hii mwaka ni ya kusakanya pesa

Kwenye radio zidi kunisema
Side yangu ni volume naongeza
Ye Natutazidi kuwa tesa
A Naiboi worldwide tingisha meza

Chorus

Hii mwaka haitaki makasiriko
Aa basi punguza alarm
Hii mwaka haitaki makasiriko
Sielewi mbona una jam

Hii mwaka haitaki makasiriko
Aya pewa kwa bill yangu
Hii mwaka haitaki makasiriko
Nausi tangazie watu

Aaah Uuh yeah Ilogos music yeaah Nai Nai Kwani bosss

Credit: Naiboi

ALSO, SING TO: Best Rapper in Nigeria Lyrics – Khaligraph Jones – 2020

Related Posts