Home NEWS Mama Lyrics – Ben Pol Ft Goodluck Gozbert – Official Lyrics

Mama Lyrics – Ben Pol Ft Goodluck Gozbert – Official Lyrics

0
Mama Lyrics

Mama Lyrics – Ben Pol Ft Goodluck Gozbert – Download Mama by Ben Pol

Oooooooh mama

Mama
Ninakupenda mama
Mama
Ninakuheshimu mama
Mama ninakupenda mama
Mama ninakuheshimu mama

Miezi tisa eee ee
Mbumbumbu sijui lolote
Ila mama wewe waniongelesha

Miezi tisa eee ee
Tumboni sijui lolote
Ila mama kabisa uliningojea

Ukashona na starehe
Kusubiri nianze shule
Wakasema chizi yule
Si angengoja akuwe

Eeh, mama siwezi kukulipa mimi
Uliyonipa hayanunuliki
Upendo wako mi sitosheki
Jembe jembe mama nakukubali wewe

Oooooooh mama

Mama
Ninakupenda mama
Mama
Ninakuheshimu mama
Mama ninakupenda mama
Mama ninakuheshimu mama

Aah aah, Ukitoa Mungu
Mbunge ni wewe ni wewe ni wewe
Waziri ni wewe ni wewe ni wewe
Rais ni wewe ni wewe ni wewe mama
Kila kitu ni wewe ni wewe ni wewe

Aah, nitanunua na Kanga zenye maneno mazuri uone
Tena nitazichanga na sarafu nikupe uchune
Aah, nitanunua na Kanga zenye maneno mazuri uone
Tena nikizichanga nitakupa na noti uone eeh mama

Sijasahau sadaka zako kutoka moyoni
Uliponipa wakati mama yangu hauna
Sijasahau sadaka zako kutoka moyoni mama
Uliponipa mama wakati wewe hauna

Tena kama ukiina mama
Jua ninakuthamini
Na moyoni mwangu nimekuweka mama

Tena nikiina mama
Jua ninakuthamini
Na moyoni mwangu nimekuweka mama

Oh kipenzi ooh kipenzi oh kipenzi oh
Oh mpenzi ooh mpenzi oh mpenzi oh
Mama

Mama
Ninakupenda mama
Mama
Ninakuheshimu mama
Mama ninakupenda mama
Mama
Ninakuheshimu mama

Mama
Ninakupenda mama
Mama
Ninakuheshimu mama

Asante kwa malezi, Asante kwa vitumbua
Asante kwa chapati, Asante
Kwa kunikung’uta

Asante kwa malezi, Asante kwa vibajia
Asante kwa maandazi, Asante
Kwa kunipa bua
Asante

Mama Lyrics Credit – Ben Pol Ft Goodluck Gozbert

ALSO, SING TO – Nazichanga Lyrics – Rosa Ree Ft Roberto – Official Lyrics

Leave a Reply