Mchepuko Lyrics by Aslay – Download Mp3 Audio
Verse One
Unapoelekea mchepuko wangu
Unanichosha mwenzenu
Wa kumliza liza mke wangu
Jamani unanichosha mwenzenu
Hata kama niko nawe kimwana
Utulivu unatakiwa
Mimi bado nina mwenyewe kimwana
Utulivu unatakiwa
Unamrusha roho kwanini?
Unamtambia amekosa nini
Unaharibu hivyo, nyumbani
Ananililia kila siku mimi
Na unajua kumwacha siwezi
Kanizalia watoto mwenzako
Nguvu za kushaua unaharibu kichizi
Unanipa changamoto mwenzako aah
Unamvalia mini akivaa dera
Unachenjigi mawig
Hata kama sijakupa hela
Wewe una iPhone mwenzako ana Motorolla
Unashindana na Gigi
Kwenye mabendi kutunza hela
Vibaya hivyo
Chorus
Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu
Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu
Verse Two
Nakupa mapesa unaniita sponsor
Unaniongopea unanikosea
Tatizo ni hicho kishepu na sura chako
Ndo kinanipa mawazo mwenzako
Nashindwa kukuacha mwenzako
Oooh nitafilisika juu yako mchepuko
Unamvalia mini akivaa dera
Unachenjigi mawig
Hata kama sijakupa hela
Wewe una iPhone mwenzako ana Motorolla
Unashindana na Gigi
Kwenye mabendi kutunza hela
Vibaya hivyo
Chorus
Mchepuko, mchepuko
Embu punguza mbwembwe punguza mbwembwe
Unaumiza mke wangu
Ooh usije kuchezea vikombe
Mchepuko, mchepuko
Aah mchepuko
Unaumiza mke wangu
Verse Three
Anakujua, anakujua
Navyomjua mama watoto
Atakufanyizia siku moja
Anakujua, anakujua
Navyomjua mama watoto
Atakufanyizia
Anakujua, anakujua
Navyomjua mama watoto
Atakufanyizia
Mchepuko Lyrics by Aslay
ALSO, SING TO – Nimekubali Lyrics – Ibraah