Home GENERAL Mdaka Mdakiwa Lyrics – SANAIPEI TANDE

Mdaka Mdakiwa Lyrics – SANAIPEI TANDE

by Louis
Mdaka Mdakiwa Lyrics

Contents

Mdaka Mdakiwa Lyrics by SANAIPEI TANDE – DOWNLOAD MP3 AUDIO

Verse One

Aje aje, aje nimpende
Aje aje, aje nimpende

Nimeshayasikia mwanamke kamilika (Aah)
Ni yule aleolewa na kuanza familia (Aah)
Ninaye nimpendaye, ameshindwa na kunena eeh (Aah)
Ana zake tu haya naifahamu si ulaghai (Aah ah ah ah)

Nami si lai lai lai
Kwa kuwa wadai dai dai
Mwanamke hafai fai fai
Kujaribu anapopata kigae chake

Chorus

Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?
Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?

Aje aje, aje nimpende
Aje aje, aje nimpende

Verse Two

Nataka mkaribia nimwambie jinsi
Anavyotia moyo wangu joto, ooh ooh
Ila sitaki mi kumwaibisha
Nina haja tu ya kumhamsisha
Akubali awe wangu na pete kunivisha

Nami si lai lai lai
Kwa kuwa wadai dai dai
Mwanamke hafai fai fai
Kujaribu anapopata kigae chake

Chorus

Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?
Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?

Aje aje, aje nimpende
Aje aje, aje nimpende

Verse Three

Dunia inageuka, geuka geuka nami
Mambo nayo yageuka, geuka geuka nami
Mila nazo zageuka, geuka geuka nami
Watu nao wageuka, geuka geuka nami

Dunia inageuka, geuka geuka nami
Mambo nayo yageuka, geuka geuka nami
Mila nazo zageuka, geuka geuka nami
Watu nao wageuka, geuka geuka nami

Gege!

Chorus

Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?
Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?

Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?
Mdaka mdakiwa, mdaka mdakiwa aaah
Mdaka mdakiwa, kwanini mdaka asiwe mdakiwa?

Mdaka Mdakiwa Lyrics by SANAIPEI TANDE

ALSO, SING TO – Lingala Na Sheng Lyrics – RICO GANG

Related Posts