Home GENERAL Mshindi Lyrics – Bella Kombo – Official Song Lyrics

Mshindi Lyrics – Bella Kombo – Official Song Lyrics

by Louis
Mshindi Lyrics

Mshindi Lyrics – Bella Kombo – Download the Song

Amka mkajivike nguvu
Eeh Sayuni mtumishi wangu
Nimekuita kwa jina lako
Utimize kusudi langu

Kuwafungua waliofungwa ooh
Na mateka uhuru wao
Ndio Bwana nitaenda
Ndio Bwana nitafanya

Naujua wito wangu
Kusudi lako ili utimize
Sitikishwi na majaribu
Aliyeanzisha atamaliza

Naujua wito wangu
Kusudi lako ili utimize
Sitikishwi na majaribu
Aliyeanzisha atamaliza

Naujua wito wangu
Kusudi lako ili utimize
Sitikishwi na majaribu
Aliyeanzisha atamaliza

Naujua wito wangu
Kusudi lako ili utimize
Sitikishwi na majaribu
Aliyeanzisha atamaliza

Nijapopita kwenye uoga
Kwenye maji mengi
Naimarika kwa nguvu zako
Wanitega imani

Hutaniacha mpaka nifike
Hutaniacha niaibike

Kwenye giza ukafanyika mwanga
Baharini ukafanyika njia
Na yule tubu ukanipa ushindi
Na kwenye makano ya seba nikatoka salama

Na jagwani ukafanya kisima
Kile kisima, kisima cha uzima
Na milango ya gereza ikafunguka
Nami nikawa huru, huru kweli kweli

Nimeiona haki ya utukufu
Jina jipya ni mshindi
Ni mshindi, mimi ni mshindi
Ni mshindi, mimi ni mshindi daima

Naiona haki ya utukufu
Jina jipya ni mshindi
Ni mshindi, mimi ni mshindi
Ni mshindi, ni mshindi daima

Naiona haki ya utukufu
Jina jipya ni mshindi
Ni mshindi, ni mshindi
Ni mshindi daima

Naiona haki ya utukufu
Jina jipya ni mshindi
Ni mshindi, ni mshindi
Ni mshindi daima

Walioshindana nawe wataaibika
Wanaoshindana nawe wataanguka mbele yako
Asema Bwana, asema Bwana

Naiona haki ya utukufu
Jina jipya ni mshindi
Ni mshindi, ni mshindi
Ni mshindi daima

Naiona haki ya utukufu
Jina jipya ni mshindi
Ni mshindi, ni mshindi
Ni mshindi daima

Ni mshindi, ni mshindi
Ni mshindi, ni mshindi
Ni mshindi daima

Ni mshindi, ni mshindi
Ni mshindi, ni mshindi
Ni mshindi daima

Mshindi Lyrics Credit – Bella Kombo

ALSO, SING TO – Dodo Lyrics – Moni Centrozone Ft Marioo

Related Posts