Home GENERAL Mutaratara Lyrics – Didiman Ft Jabidii – Official Lyrics

Mutaratara Lyrics – Didiman Ft Jabidii – Official Lyrics

by Louis
Mutaratara Lyrics

Contents

Mutaratara Lyrics – Didiman Ft Jabidii – Download Mutaratara mp3 audio

Fom vile unadai dai dai dai dai
Zile zinadai dai dai dai dai
Vile unadai dai dai dai dai
Ziko huku

Fom vile unadai dai dai dai dai
Zile zinadai dai dai dai dai
Vile unadai dai dai dai dai
Ziko huku

Huku
Mambo ni mutaratara eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Huku
Hakuna zile za Para eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Huku
Mambo ni mutaratara eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Huku
Hakuna zile za Para eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Verse One

Kusikiza hii hauna budi
Wagwan ni mbaya hii ni jabidii na didi
Gospel ni moto hata wakati wa baridi
Unarusha mikono juu unasema buda he did it

Hey Man What agwan?
Maisha mlima sir jangwani
Lakini bado yesu number one
Nakupeleka na rada one by one

One by one daily nipate niko studio
Doing fi di father God me daddy yoh
Ananipa big tunes si ndio hiyo
Daily waniskize kwenye radio

Wacha nikupeleke na rada
Kama sio yesu umeblunder
Wacha nikupeleke na rada
Kama sio yesu umeblunder

Fom vile unadai dai dai dai dai
Zile zinadai dai dai dai dai
Vile unadai dai dai dai dai
Ziko huku

Fom vile unadai dai dai dai dai
Zile zinadai dai dai dai dai
Vile unadai dai dai dai dai
Ziko huku

Chorus

Huku
Mambo ni mutaratara eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Huku
Hakuna zile za Para eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Huku
Mambo ni mutaratara eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Huku
Hakuna zile za Para eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Verse Two

Bila yesu mi kwa soko siko
Baraka za jah ngware saa za kokoriko
Nipate nikiruka kama Mukorino
Nahubiri neno mpaka Puerto Rico

He has taken the key from the devil
Milango zote ziko wazi mimi nikubisha tu
A thousand cattles on a thousand meal
Ananiweza mimi ni kuitisha tu

On my knees mi na go down
Utanisimamisha mi niki fall down, fall down
Ukinituma i’ll go now
Na ukitaka nitulie i’ll slow down

Slow down
Kwa shetani mimi i’ll never bow down
Niko na Jesus watangoja sana ni go down
Huku mambo ni mutaratara
Tune ikidrop huku ni ma tick na ma well done

Fom vile unadai dai dai dai dai
Zile zinadai dai dai dai dai
Vile unadai dai dai dai dai
Ziko huku

Fom vile unadai dai dai dai dai
Zile zinadai dai dai dai dai
Vile unadai dai dai dai dai
Ziko huku

Chorus

Huku
Mambo ni mutaratara eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Huku
Hakuna zile za Para eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Huku
Mambo ni mutaratara eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Huku
Hakuna zile za Para eei
Huku
Mambo ni mutaratara eei

Mutaratara Lyrics Credit – Didiman Ft Jabidii

ALSO, SING TO – Dhudha Lyrics – Ssaru – Official Music Lyrics

Related Posts