Home NEWS Nairobi Lyrics – Magix Enga – New Song 2020

Nairobi Lyrics – Magix Enga – New Song 2020

0
Nairobi Lyrics

Nairobi Lyrics – Magix Enga – Download audio

Verse One

Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na doh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na ssh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa form
Nikusaka tu madoh, nikusaka tu madoh

Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na doh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na ssh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa form
Nikusaka tu madoh, nikusaka tu madoh

Hapa Nairobi hakuna kucheza
Hapa ni kazi
Ju ni kusaka tu madollar
Hapa ni kazi juu
Kwa imani am a boss now mmmh
Nigga sign my check up here ghost now mmh

Don’t mess with me, Don’t me you gon make me mad
Don’t mess with me, Don’t me you gon make me mad

Chorus

Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na doh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na ssh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa form
Nikusaka tu madoh, nikusaka tu madoh

Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na doh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na ssh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa form
Nikusaka tu madoh, nikusaka tu madoh

Verse Two

Kijana alipiga mihela
Ikabaki jo ni kusakwa na ngeta
Kijana anaball vinoma
Free time ni kuchoma mavela

Ye ni youngboss sio mbleina
Kama ni ngoko ni Vera
Moti ka kumi simple
Ye hucheza
Na ka Uber

Ye ni Youngboss don
Ye hutoanga maform
Halipi kanjo soo(Zii)
Ye hukuwanga na doh

Ye hupiga madesigner
Kama ni Ric Ric drip it
Ye huchananga maveve
Ka si mabati

Chorus

Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na doh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na ssh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa form
Nikusaka tu madoh, nikusaka tu madoh

Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na doh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa na ssh
Nikifika hii Nairobi
Mabro sikuwa form
Nikusaka tu madoh, nikusaka tu madoh

Verse Three

Hapa Nairobi hakuna kucheza
Hapa ni kazi
Ju ni kusaka tu madollar
Hapa ni kazi juu
Kwa imani am a boss now mmmh
Nigga sign my check up here ghost now mmh

Don’t mess with me, Don’t me you gon make me mad
Don’t mess with me, Don’t me you gon make me mad

Nairobi Lyrics Credit – Magix Enga

ALSO, SING TO – Sidonyo Lyrics – Boondocks Gang – New Song 2020

Leave a Reply