Najiuliza Lyrics by MATTAN
Verse One
Nkisema nimwachane
Nitakufurura buka alioyaweka
Nirekebu yangu mapungufu
Kibinadamu nijue wapi anaelezeka
Moyo unauong’oneza
Na unaonipa mtazamo
Ungekuwa kando
Ningekuchumu maa, chum maa
Ningekuchumuu
Popote ulipo
Ujuwe bado nakupenda
Aahh my baby, my baby
My baby
Uvume upepo
Wawili tuivuke ng’ambo
My baby, my baby
Hata dunia itoke kwenye muhimili
Kweli hakuna wa kubadili
Tulianza pair kanda mbili
Leo uko mbali sikubali, haku
Na hata kama wa kweli
Ukiwa umependa hivi tulivyo
Mbali mbali sawa
Ila swali moja najiuliza
Chorus
Nitakusahau lini?
Nitakusahau lini? Nitakusahau
Nitakusahau lini? Nitakusahau
Nitakusahau lini? Nitakusahau
Nitakusahau lini? Nitakusahau
Verse Two
Kumbu kumbu inanitesa sana
Nikitanabai nakumbuka mapenzi
Ni kweli ni mengi ulonifunza
Hivi unatamani kurudi?
Kujitia hodari wa kulaghai
Eti fundi wa kupika kila mboga, maa
Sitaki yamenichosha
Popote ulipo
Ujuwe bado nakupenda
Aahh my baby, my baby
My baby
Uvume upepo
Wawili tuivuke ng’ambo
My baby, my baby
Hata dunia itoke kwenye muhimili
Kweli hakuna wa kubadili
Tulianza pair kanda mbili
Leo uko mbali sikubali, haku
Na hata kama wa kweli
Ukiwa umependa hivi tulivyo
Mbali mbali Sawa
Ila swali moja najiuliza
Chorus
Nitakusahau lini?
Nitakusahau lini? Nitakusahau
Nitakusahau lini? Nitakusahau
Nitakusahau lini? Nitakusahau
Nitakusahau lini? Nitakusahau
Najiuliza Lyrics by MATTAN
ALSO, SING TO – Acha Iwe Lyrics – NEDY MUSIC