Home NEWS Naolewa Lyrics – Ruby – New Song Feb 2020

Naolewa Lyrics – Ruby – New Song Feb 2020

0
Naolewa Lyrics

Naolewa Lyrics – Ruby  DOWNLOAD MP3 AUDIO

Waliniita kimbaumbau, kiguu na njia
Ila nikadharau, nikapuuzia
Leo kwao kafa nyau, yanawanukia
Kwetu twafinya pilau, yametimia

Oooh wanjara, walete bunyero ooh
Mi nataka kulimwaga razi, Na makagheroo
Waite na mapaparazi, Wapate kero
Wale wenye magho ya nazi, Bando la jero
Wapate vya kuperuzzi

Habari ziende kwa ma ex
Penzi waliodhulumu
Tena nimepata tetesi
Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa
Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
Naolewa, naolewa mie, Ooh sheba
Naolewa, naolewa mie

Nilikosaga na dira kwa maneno ya waja
Oooh subira aaah, mbele inafaraja
Asa chereko, ngoma lipo uwanjanii
Mwali na mideko, kama nimetoka ngomani

Aii yuko wapi mamie mwali
Aje anibebe mgongoni
Amuite daddy mwali waje
Wayarudi ya msondondo

Bibi anacheka, zawadi kaleta
Na kitenge na mkeka
Na kibunda cha pesa
Aaah aah aaah

Habari ziende kwa ma ex
Penzi waliodhulumu
Tena nimepata tetesi
Mmoja ataka kunywa sumu

Kisaa jamani kisaa
Nikauliza kisaa, kisa leo naolewa
Naolewa, naolewa mie, Ooh sheba
Naolewa, naolewa mie

Sina sina makosa
Mtoto wa mwenzio
Sina sina makosa
Utajiua

Sina sina makosa
Mtoto wa mwenzio
Sina sina makosa
Utajiua buree

Buree, bureee…

Naolewa Lyrics Credit – Ruby

ALSO, SING TO – Mama Lyrics – Kayumba – New Song 2020

Leave a Reply