Ng’ombe Kuku Lyrics Jeje Parody – Dogo Charlie – Download Ng’ombe kuku by Dogo charlie
Ng’ombe wewe ni ng’ombe
Ng’ombe wewe ni ng’ombe
Ng’ombe wewe ni ng’ombe
Ng’ombe wewe ni ng’ombe wangu
Ng’ombe wewe ni ng’ombe
Ng’ombe wewe ni ng’ombe
Ng’ombe wewe ni ng’ombe
Ng’ombe wewe ni ng’ombe wangu
Ng’ombe relax si umeshiba
Ukiwa na njaa nitakulisha
Nitakupa majani utashiba
We ng’ombe my ng’ombe
Nataka kukukama
And your sweet maziwa nitakunywa
Ng’ombe wangu nataka kukukama
Hata kama mimi nguvu sina
Unipe kila siku, ooh ng’ombe
Mchana na usiku, ooh ng’ombe
Unipe maziwa
Nikunywe maziwa
Unipe kila siku, ooh ng’ombe
Mchana na usiku, ooh ng’ombe
Unipe maziwa ng’ombe
Wewe ng’ombe
Ng’ombe tulia nikukame
Kuku wewe ni kuku
Kuku wewe ni kuku
Kuku wewe ni kuku
Kuku wewe ni kuku wangu
Kuku wewe ni kuku
Kuku wewe ni kuku
Kuku wewe ni kuku
Kuku wewe ni kuku wangu
Jogoo ndo yule twende kwake
Ukipandwa usipige mayowe eti kwe kwe kwe
Kuku kwe kwe kwe
Na jogoo si upasepase usiogope mwewe
Siendi mbali na rungu iko ready
Si utwa twa twa
Kuku twa twa twa
Kuku mayai
Nimefurahi mumeninice nangoja mayai
Kuku mayai
I don’t wanna waste my time twende nyumbani
Utage mayai
Nitakula mayai fried
In the morning even night
Kuku mayai
Nataka utage mayai
Utage kila siku, ooh kuku
Mchana na usiku, ooh kuku
Utage mayai kuku mayai
Utage kila siku, ooh kuku
Mchana na usiku, ooh kuku
Unipe mayai, ooh kuku
Wewe kuku
Kuku mayai na utage
Ng’ombe wewe ni ng’ombe
Ng’ombe wewe ni ng’ombe
Ng’ombe wewe ni ng’ombe
Ng’ombe wewe ni ng’ombe wangu
Kuku wewe ni kuku
Kuku wewe ni kuku
Kuku wewe ni kuku
Kuku wewe ni kuku wangu
Ng’ombe Kuku Lyrics Jeje Parody Credit – Dogo Charlie
ALSO, SING TO – Yote Lyrics – Kelechi Africana – Official Music Lyrics