Nisamehe Lyrics by Zuchu – Download Mp3 Audio
Verse One
Ayolizer
Kukuhini kusokwisha umeangukia pemani
Roho ya ni dadarika, kashantoka shetwani
Nimeumbiwa makosa, mwanadamu na mimi
Moyo umekunja ndita, nakumiss jamani
Ngumu safari ilifanya njiani ushukie
Ukakosa siti milika gari lako mwenyewe
Nikajiweka masharti nikajiona mi ndo mie
Kweli mbaya hali sina wema hakosi ye
Chorus
Nisamehe, Nisamehe
Nisamehe, Nisamehe
Verse Two
Chozi dibwi dibwi
Nachanganyikiwa na vilio sishikiki
Niko magharibi lizamapo juu
Wewe upo mashariki
Zawadi vipochi, vijisi vipipi
Nazimiss chocolate
Nimekwama dear nilivyonyongea
Huba zako sizipati
Tabibu, kunikomesha umepata toto la Kitanga
Sababu, umeichoka jeuri yangu ya Kipemba
Lile gugu, limeniisha kabisa baby hali nanga
Aibu, wananicheka wajinga rudi nakuomba
Ngumu safari ilifanya njiani ushukie
Ukakosa siti milika gari lako mwenyewe
Nikajiweka masharti nikajiona mi ndo mie
Kweli mbaya hali sina wema hakosi ye
Chorus
Nisamehe, Nisamehe
Nisamehe, Nisamehe
Verse Three
Nikikaa nawaza nimwingie kwa style gani
Nimlilie aseme nseme nina mimba, kasahau tisheti nyumbani
Nashindwa kujizuia, uvumilivu unanishinda kwanini
Nikimpigia kusudi zake, na akipokea
‘Ati Hello’ wewe nani iiiii,
namba kakupa nani iiiii,
Mara aah we kumbe wewe unafanya issue gani siku hizi
Mi msanii, anajua ina maana hanioni kwenye TV
Aah aii wewe, aah aiii wewe
Wasafi
Nisamehe Lyrics by Zuchu
ALSO, SING TO – Raha Lyrics – Zuchu