Pepea Lyrics by Hamadai
Verse One
Mama weee
Mamama hayaaa
Kisi
Mmmh
Siwezi kuficha na kudanganya
Mapenzi yananiumiza
Yani kufosi hasi na kuwa chanya
Mmmmh
Hayo mapichapicha ndo nayaona
Kama si ndoto ni miujiza
Mimi huyu wa leo sio wa jana
Mmmmmh
Nacheka kwa marafiki natabasamu
Ila moyoni inachoma
Angejuaga nina dhiki na sina hamu
Haya ninayo yaona
She got gwan mama sita
Penzi lako linatatanisha
Maradhi yako yananitisha
Uwoo uwooo uwoooo
She got gwan mama sita
Penzi lako linatatanisha
Maradhi yako yananitisha
Uwoo uwooo uwoooo
Chorus
Naona penzi linapepea
Mpenzi lina pepea
Halijakaza linapepea
Mpenzi linapepea
Naona penzi linapepea
Mpenzi lina pepea
Halijakaza linapepea
Mpenzi linapepea
Mmmm
Verse Two
Niliyasahau majaribu
Nikahisi milele utakuwa wangu
Kumbe najipa adhabu
Kuchimba mwenyewe kaburi langu
Nimekupa mboni ukachocha
Mbele sioni natokota
Mie taabani moyo tweta
Moyo tweta, moyo tweta
She got gwan mama sita
Penzi lako linatatanisha
Maradhi yako yananitisha
Uwoo uwooo uwoooo
She got gwan mama sita
Penzi lako linatatanisha
Maradhi yako yananitisha
Uwoo uwooo uwoooo
Chorus
Naona penzi linapepea
Mpenzi lina pepea
Halijakaza linapepea
Mpenzi linapepea
Naona penzi linapepea
Mpenzi lina pepea
Halijakaza linapepea
Mpenzi linapepea
Pepea Lyrics by Hamadai
ALSO, SING TO – Sukuma Ndinga Remix Lyrics – Rosa Ree Ft Rayvanny