Home NEWS Pepea Lyrics – Hamadai

Pepea Lyrics – Hamadai

0
Pepea Lyrics

Pepea Lyrics by Hamadai

Verse One

Mama weee
Mamama hayaaa
Kisi
Mmmh

Siwezi kuficha na kudanganya
Mapenzi yananiumiza
Yani kufosi hasi na kuwa chanya
Mmmmh

Hayo mapichapicha ndo nayaona
Kama si ndoto ni miujiza
Mimi huyu wa leo sio wa jana
Mmmmmh

Nacheka kwa marafiki natabasamu
Ila moyoni inachoma
Angejuaga nina dhiki na sina hamu
Haya ninayo yaona

She got gwan mama sita
Penzi lako linatatanisha
Maradhi yako yananitisha
Uwoo uwooo uwoooo

She got gwan mama sita
Penzi lako linatatanisha
Maradhi yako yananitisha
Uwoo uwooo uwoooo

Chorus

Naona penzi linapepea
Mpenzi lina pepea
Halijakaza linapepea
Mpenzi linapepea

Naona penzi linapepea
Mpenzi lina pepea
Halijakaza linapepea
Mpenzi linapepea

Mmmm

DOWNLOAD HAMADAI PEPEA AUDIO

Verse Two

Niliyasahau majaribu
Nikahisi milele utakuwa wangu
Kumbe najipa adhabu
Kuchimba mwenyewe kaburi langu

Nimekupa mboni ukachocha
Mbele sioni natokota
Mie taabani moyo tweta
Moyo tweta, moyo tweta

She got gwan mama sita
Penzi lako linatatanisha
Maradhi yako yananitisha
Uwoo uwooo uwoooo

She got gwan mama sita
Penzi lako linatatanisha
Maradhi yako yananitisha
Uwoo uwooo uwoooo

Chorus

Naona penzi linapepea
Mpenzi lina pepea
Halijakaza linapepea
Mpenzi linapepea

Naona penzi linapepea
Mpenzi lina pepea
Halijakaza linapepea
Mpenzi linapepea

Pepea Lyrics by Hamadai

ALSO, SING TO – Sukuma Ndinga Remix Lyrics – Rosa Ree Ft Rayvanny

Leave a Reply