Contents
Quarantine Lyrics by Otile Brown – Download Mp3 Audio
Verse One
Mmmm
Hello Ex
Hello Ex
U hali gani
Ni long time
Hatujaonana
Natumai
Upo salama
Naelewa unanichukia
Hata jina langu hutaki sikia
Corona imekithiri
Upweke umetanda
Siku kama hii
Nakukosa sana
Corona imekithiri
Upweke umetanda
Hasa siku kama hii
Nakukosa sana
Natamani ningekuona
Angalau siku moja
Nina kutu la mabusu
Mm mm
Natamani ningekuona
Angalau siku moja
Mwenzio nina kutu
La mabusu
Ukienda quarantine
I’m with you
Ukienda quarantine
I’m with you
Ukienda quarantine
I’m with you
Ukienda quarantine
I’m with you
Ukienda quarantine
I’m with you
Chorus
Quarantine, quarantine
Hata kwa msimu huu angalau
Quarantine, quarantine
Najuwa unanichukuia unanidharau
Quarantine, quarantine
Ooh baby
Quarantine, quarantine
Hata kwa msimu huu tu
Verse Two
Ooh baby pull up why dont you pull up
I got some smoke and some booz
Ni wewe tu ninaye kosa
Ooh baby pull up why dont you pull up
I got some nyama choma and some booz
We can chill together in jacuzzi
Mi na wewe
Naeza cuddle na hii njeve
Nina shisha pia veve
Ama Netflix and Chill
Naweza cheza Guitar nina Skills
Naeza cuddle na hii njeve
Nina shisha pia veve
Ama Netflix and Chill
Naweza cheza Guitar nina Skills
Natamani ningekuona
Angalau siku moja
Nina kutu la mabusu
Mm mm
Natamani ningekuona
Angalau siku moja
Mwenzio nina kutu
La mabusu
Ukienda quarantine
I’m with you
Ukienda quarantine
I’m with you
Ukienda quarantine
I’m with you
Ukienda quarantine
I’m with you
Ukienda quarantine
I’m with you
Chorus
Quarantine, quarantine
Hata kwa msimu huu angalau
Quarantine, quarantine
Najuwa unanichukuia unanidharau
Quarantine, quarantine
Ooh baby
Quarantine, quarantine
Hata kwa msimu huu tu
Last Verse
Ila kwanza swali ni
Una Corona?
Maana kama una Corona
Usije
Wash your hands
Sanitize
Stay safe
I Love you All
Quarantine Lyrics by Otile Brown
ALSO, SING TO – Nakupa Moyo Lyrics – Bahati Ft Akothee