Home NEWS Quarantine Parody Lyrics – Dogo Charlie

Quarantine Parody Lyrics – Dogo Charlie

0
Quarantine Parody Lyrics

Quarantine Parody Lyrics By Dogo Charlie

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen

On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Nyanya wacha zako na ujidai

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen

On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Nyanya wacha zako na ujidai

Quarantine Parody Lyrics Verse One

Kwanza Shika
Kisu nikama unanikata
Kwa nyama nawekwa
Kwa sausage Yai na Samosa

Sometimes naboeka, kwa canteen
Mkinibuy nacheka, kwa canteen
Kwa nyumba ninapelekwa, kwa canteen
Siringi nikikarangwa, kwa canteen

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen

On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Kitunguu wacha zako na ujidai

Quarantine Parody Lyrics Verse Two

Niko na taste ile safi
Kila time kwa chakula hunikosi
Ukinikata ni uchokozi
Nitarevenge utatokwa na machozi

Ukinifry, fry fry fry
Rangi ina turn, turn turn turn
Leta oil unikarange
Ah, oil unikarange wewe

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen

On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Cabbage wacha zako na ujidai

Quarantine Parody Lyrics
Dogo Charlie

Verse Three Quarantine Parody Lyrics

Me hufeel good when i’m fried
Nikipakuliwa na ka stew
Ya mayai, ya samaki
Mimi ndo baba yao coz i’m white

I’m very sweet ohh
Cabbage cabbage cabbage
Nikikarangwa na Royco
Cabbage cabbage cabbage

Kwa canteen ya Dogo mi ndo ni chizi, chizi
Nami jina langu naitwa Ndizi, ndizi
Ukiskia Nyaboke take it Easy, chizi
Ju shemeji zangu wanaishi Kisii

Si nimeiva, si si nimeiva
Ona ona si nimeiva
Si nimeiva, si si nimeiva
Ona ona si nimeiva

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Muuzaji wa canteen

Now niko kwa canteen
Kwa canteen Kwa canteen
Nauzanga kwa canteen

On the left, to the right
1,2,3,4 mko 5
My Name is Dogo Charlie
Ndimu waccha zako na ujidai

Verse Four Quarantine Parody Lyrics

Eat me eat me, put me sugar eat me
I’m so bitter not that sweet
Put me sugar eat me

See see look at me
Nyam nyam nyam
Nyam nyam nyam

See see look at me
Nyam nyam nyam
Nyam nyam nyam

Dogo Amemkata
Wawawa wa
Aiyaiyayaiya ahh
Aiyaiyayaiya ahh
Dogo Amemkata

ALSO, SING TO, Bloody War Lyrics – Mbogi Genje Ft Seska, Dullah

Quarantine Parody Lyrics By Dogo Charlie – Download Mp3 Audio

Leave a Reply