Home NEWS Sambusa Lyrics – Addi Chokoch, Dmore, ExRay, Maddox, Nelly

Sambusa Lyrics – Addi Chokoch, Dmore, ExRay, Maddox, Nelly

0
Sambusa Lyrics

Sambusa Lyrics – Addi Chokoch, Dmore, ExRay, Maddox, Nelly

Hitman ting Hitman ting
Badman ting Badman ting
Hitman ting
Man a badman ting

Namdara kabisa ndio nimtoe joto
Ndani ya nissan na usitie roho
Hadi kamisa unakatia poko
Ukipakishwa nakupiga koto, ama

Yes Kidole Sambusa
Yes kidole sambusa,
Ama Yes kidole sambusa
Yes kidole sambusa

Ni mabum kubwa zinabambuka
Ni mabum kubwa zinabambuka
Na ukilia machozi panguza
Na ukilia machozi panguza

Sambusa Lyrics Verse One

Addi chokoch rada gani

Dada kamata sister kata
Tunachuna fudhi kutumia nailcutter
Dada kamata sister kata
Makejani tukiskizia Dj Kata

Kamehenyea nyap kijijini
Wakomi wasomi hadi majini
Mashoshe mafiat wako dukanii
D kingpin, toka southee

Kunanyesha damu mabadini
Magaldem wako juu mitini
Maboy dem wako chini interkwakaring
Aiii, ni maring’ ding’

Chorus

Namdara kabisa ndio nimtoe joto
Ndani ya nissan na usitie roho
Hadi kamisa unakatia poko
Ukipakishwa nakupiga koto, ama

Yes Kidole Sambusa
Yes kidole sambusa,
Ama Yes kidole sambusa
Yes kidole sambusa

Verse Two

Chura chura anataka tu kupigwa keshwa
Pura pura keeper anadai tu Vanessa
Kura kura anapiga tu bila chaser
Sura sura ana nerd jenge amemteka

Na kokoto kibongii
Mi nachota hadi body
Cheki vile kanasoka ana songi
Aaii, mi nateka tu Njokii

Nyap nyap eeh, nyap nyap woo
Tandika tandika tandika kinyam nyam
Nyap nyap eeh, nyap nyap woo
Tandika tandika tandika kinyam nyam

Raha ndani ya loho, ndani ya loho
Laha ndani ya loho, ndani ya loho
Laha ndani ya loho, ndani ya loho
Raha ndani ya loho, ndani ya loho

Chorus

Namdara kabisa ndio nimtoe joto
Ndani ya nissan na usitie roho
Hadi kamisa unakatia poko
Ukipakishwa nakupiga koto, ama

Yes Kidole Sambusa
Yes kidole sambusa,
Ama Yes kidole sambusa
Yes kidole sambusa

Sambusa Lyrics Verse Three

Afande weeh, apa kuna kurutu
Aaiii yaya na ana kutu
Apa weeh, ntakuria mutu
Dogo dogo, ntakuria muthutu

Ngeus wake happy ye huniita boo
Ka ana nyege sitaki masahibu
Ka ni mrs mi si mr ibu
Kaana hanjam twende taratibu

Ni mabum kubwa zinabambuka
Ni mabum kubwa zinabambuka
Na ukilia machozi panguza
Na ukilia machozi panguza

Chorus

Namdara kabisa ndio nimtoe joto
Ndani ya nissan na usitie roho
Hadi kamisa unakatia poko
Ukipakishwa nakupiga koto, ama

Yes Kidole Sambusa
Yes kidole sambusa,
ama Yes kidole sambusa
Yes kidole sambusa

Credit: Addi Chokoch, Dmore, ExRay, Maddox and Nellythegoon

SING ALSO TO: Soko Lyrics – Ethic Entertainment – New Song 2020

Leave a Reply