Ibraah Subira Lyrics
Subira Lyrics Verse One
Oh nah nah
Subira imeniponza, natokota
Kwote kupambana tatu bila
Langu penzi tamu tamu, wameliokota
Eh moyo ukauwacha na malenge lenge
Umeota vidonda eh
Nimefuba hali ni shiwenge
Wivu nakonda
Anipita mbali kama kigege
Aniacha hoi mi mlege lege
Nadharaulika ananiona bwege
Oh inauma
Kama asali nishapokonywa masege
Kaniachiaga homa ya dege dege
Leo mlezi bichi mi wa mla ndege
Hakumbuki nyuma
Tena sikudhubutu
Kumfanya ajutie kunipenda
Niliamini wa milele daima
Daima
Kwake sikuaga zumbukuku
Japo yangu ya kitochi, alimulikiaye
Anavyoiweka kando inaniuma
Inaniuma
Chorus
Eh yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya
Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia
Subira Lyrics Verse Two
Skiibii
Baby no be mato
That u drive me crazy
Now i cant get u off my head
Cant get u off my head
Umeniachia kidonda kidonda
Mi mwenzako ninakonda
Kidonda kidonda
Skiibii Mayana nakonda
—
Ma enjoy my money
I go stop by your side
—
I wish you treat me right
Iwish you do me right
I wish you don de lie
My heart is beating I love you die
Chorus
Yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya
Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia
Ibraah Subira Lyrics
ALSO, SING TO – Nani Lyrics – Ibraah