Home NEWS Subira Lyrics – Ibraah Ft Skiibii

Subira Lyrics – Ibraah Ft Skiibii

0
Subira Lyrics

Ibraah Subira Lyrics

Subira Lyrics Verse One

Oh nah nah
Subira imeniponza, natokota
Kwote kupambana tatu bila
Langu penzi tamu tamu, wameliokota

Eh moyo ukauwacha na malenge lenge
Umeota vidonda eh
Nimefuba hali ni shiwenge
Wivu nakonda

Anipita mbali kama kigege
Aniacha hoi mi mlege lege
Nadharaulika ananiona bwege
Oh inauma

Kama asali nishapokonywa masege
Kaniachiaga homa ya dege dege
Leo mlezi bichi mi wa mla ndege
Hakumbuki nyuma

Tena sikudhubutu
Kumfanya ajutie kunipenda
Niliamini wa milele daima
Daima

Kwake sikuaga zumbukuku
Japo yangu ya kitochi, alimulikiaye
Anavyoiweka kando inaniuma
Inaniuma

Chorus

Eh yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia

Subira Lyrics Verse Two

Skiibii

Baby no be mato
That u drive me crazy
Now i cant get u off my head
Cant get u off my head

Umeniachia kidonda kidonda
Mi mwenzako ninakonda
Kidonda kidonda
Skiibii Mayana nakonda


Ma enjoy my money
I go stop by your side

I wish you treat me right
Iwish you do me right
I wish you don de lie
My heart is beating I love you die

Chorus

Yangu akili,
Ameichanganya changaya, Ameidanganya
Hakuna tena siri
Ameichanganya, moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa
Ameichanganya
Penzi amelipangusa
Lipangusa aah, aah nalia

Ibraah Subira Lyrics

ALSO, SING TO – Nani Lyrics – Ibraah

Leave a Reply