Sugua Lyrics – Jux feat. Diamond Platnumz
Sugua Lyrics Verse one – JUX
Simsima, toto mpe funguo za bima
Anitoa Bongo nimefika mpaka China toto
Zipuka kishungi nimezima
Amenipa lunch nimekula mpaka dinner yeah
Santana santana
Kitandani maji maji yanapambana
Anainama kanainama
Kanavyoiokota kama ua sama
Sugua Lyrics – Diamond Platnumz
Wakali kwili kwili sikopeshi(sikopeshi)
Namlipa mbili mbili sina breki(Sina breki)
Nakadudisha mwili kitenesi(Kitenesi)
Kamenikiri kiri mara kesi
Asa nionyeshe alichokupa mama
Sugua! sugua! sugua!
Sugu sugu sugu (Mama wee)
Sugua! sugua! sugua!
Sugu sugu sugu
ALSO, SING TO Naenjoy Lyrics – Aslay – New Song 2019
Verse Two – Diamond Platnumz
Utapenda pini pini ama kitaka
Nikupe kwa chini chini ama kwa ngoko
Ngweli sabini bini ama kimako
Chenga mwilini lini Jonny Boko
(Brrr Okey)
Udi! udi udi udi(Udi)
Katoto kako gudi gudi gudi(Gudi)
Mudi mudi mudi mudi(Mudi)
Navyokatafuna kama fudi
Oyaa, katoto dosalale
Eeeh dosalale
Nakapa fishi kambale
Eeeh kambale Kibidu bidua(Oooh bidua)
Pindu pindua(Oooh pindua)
Yaani nakachimbu chimbua(Ooh chimbua)
Nambandika bandua
Oooh dada de
Yaani kama gaga
Limekwama kwenye guu
Sugua! sugua! sugua!
Sugu sugu sugu (Mama wee)
Sugua! sugua! sugua!
Sugu sugu sugu
Verse Three – Diamond and Jux
Beiby, wakiweka unaweka(Weka hatuoni)
Ukichomoa unachomeka(Weka hatuoni)
Weka weka weka mpaka down(Weka hatuoni)
Komesha watoto wa town(Weka hatuoni)
Weka kama unasusa(Weka hatuoni)
Nisogezee kisambusa(Weka hatuoni)
Weka weka weka mpaka down(Weka hatuoni)
Nikomeshee watoto wa town(Weka hatuoni)
CREDIT