Tag: pepea
Pepea Lyrics – Hamadai
Pepea Lyrics by Hamadai
Verse One
Mama weee
Mamama hayaaa
Kisi
Mmmh
Siwezi kuficha na kudanganya
Mapenzi yananiumiza
Yani kufosi hasi na kuwa chanya
Mmmmh
Hayo mapichapicha ndo nayaona
Kama si ndoto ni miujiza
Mimi huyu...
Pepea Lyrics – Linah – Official Song Lyrics
Pepea Lyrics - Linah - Download the Song
Verse One
Mwenzenu nina maswali
Yalokosa majibu
Nayajua mapenzi
Kwani ni wapi naharibu?
Nitayempata atatulia
Anatokea Mujiga ii
Aso nguli wa kuchagua
Anachagua visirani
Maana sipati...