Home NEWS Tantarira Lyrics – Jovial – New Song Feb 2020

Tantarira Lyrics – Jovial – New Song Feb 2020

0
Tantarira Lyrics

Tantarira Lyrics – Jovial – DOWNLOAD MP3 AUDIO

Excuse me
Nimepata kampenzi
Ananipa raha nyingi
Na kunienzi

Excuse me
Nimepata kampenzi
Ananipa raha nyingi
Na kunienzi

Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia
Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia

Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Nimenogewa sitoki kwako
Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Nimenogewa sitoki kwako

Umenifanya niwe,
Tantarira aah, rira aah
Umenifanya niwe,
Tantarira aah, rira aah

Umenifanya wee,
Mimi nipagawe, tantarira aah
Umenifanya wee,
Mimi nipagawe, tantarira aah

Hapendi nikiwa na stress
Anapenda nikitabasamu
Anipa mapenzi moto moto

Hapendi nikiwa na stress
Anapenda nikitabasamu
Anipa mapenzi moto moto

Anajua kunipa ham
Mwishowe matam tam
Hajafeli ni wa ukweli
Napata daily

Yeye kwangu ni daktari
Tiba yake nakubali
Hajafeli ni wa ukweli
Napata daily

Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia
Jamani wee, unanijulia
Kila nitakacho mimi wanipatia

Nimeshiba sina njaa
Kila siku raha
Kwake si karaha

Ananipenda kila saa
Sitomnyanyanya paa
Popote tutapaa

Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Nimenogewa sitoki kwako
Hujachelewa chelewa, mimi ni wako
Nimenogewa sitoki kwako

Umenifanya niwe,
Tantarira aah, rira aah
Umenifanya niwe,
Tantarira aah, rira aah

Umenifanya wee,
Mimi nipagawe, tantarira aah
Umenifanya wee,
Mimi nipagawe, tantarira aah

Tantarira Lyrics Credit – Jovial

ALSO, SING TO – Taniua Lyrics – Hitman Khat Ft Shagwah, Exray – Feb 2020

Leave a Reply