Unaniweza Lyrics – Jux
Unaniweza Lyrics Verse One
Pindi ukicheka we
Mi moyo unanitabasamu
Huwa mwenye kujihisi mororoo
Ila ukilia we Hata kula nakosa hamu
Huwa mwenye kujihisi dororo
Ukiwa karibu na mie
Najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby
Baridi linachoma
Uwepo wako we na mie
Umetia fora
We ndo daktari darling
Nikitaka kupona
Chorus
Unaniweza
Weza Unaniweza weza
Unaniweza
Weza Unaniweza weza
Unaniweza Lyrics Verse Two
Sitamani mwingine
Wala sidhani ka ataweza kutokea
Maana mambo yako moto moto moto
Labda upite ushetani mwingine
Maneno ya watu nishazoea i don’t care
Kila kukicha chokochoko
Unavyonipa rahaa
Ndo na nenepa mie
Penzi lako na tinga na ringa na bembea
Kinachokufaaa
Usisite niambie
Kwako niko radhi, hata zege nibebe machinga ni nadishee
Ukiwa karibu na mie
Najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby
Baridi linachoma
Uwepo wako we na mie
Umetia fora
We ndo daktari darling
Nikitaka kupona
Chorus
Unaniweza
Weza Unaniweza weza
Unaniweza
Weza Unaniweza weza
Unaniweza weza
Yeiyeeee, I do it for love, For love
Unaniweza weza
For love , For love , I do it for love
Yeeeee Unaniweza weza
Unaniweza Lyrics Credit – Jux
ALSO, SING TO – Again Lyrics – Beka Flavour – New Song 2020