Home NEWS Urao Lyrics – Wakali Wao – New Song 2020

Urao Lyrics – Wakali Wao – New Song 2020

0
Urao Lyrics

Urao Lyrics – Wakali Wao – Download Mp3 Audio

Intro

Pigwa dudu rungu na fimbo ya farao
Wakuwe ni chura ama rangi ya Thao
Kakuwe na nyuma na sura ni nyang’au
Nazikemba nazibeba juu ka karao

Mangoko wabebwe basi sikia urao
Mangoko watekwe basi sikia urao
Kuwapea makali konyagi na kibao
Zikishika toa kutu rungu nimembao

Mangoko wabebwe basi sikia urao
Mangoko watekwe basi sikia urao
Kuwapea makali konyagi na kibao
Zikishika toa kutu rungu nimembao

Verse One

Dudu msee  niko ju ya matembe
Kaveve aluta kakishika na mdenge
Mbebe konyagi kibao nimteke
Shikuku kuwake shikweke

Ngoko mimi ndio jogoo wewe ndio mwewe
Cheze kiwewe uwache umwere
Qwela Kiguta ukiinamia
Ju ju nakupanda ka ngamia juu

Du, du rungu we kalia
Apana chachisha kama mama wa ploti
Kwanza inama nyembe pongi sitoki
Chuma shindano twatibu kama doki

Chorus

Pigwa dudu rungu na fimbo ya farao
Wakuwe ni chura ama rangi ya Thao
Kakuwe na nyuma na sura ni nyang’au
Nazikemba nazibeba juu ka karao

Mangoko wabebwe basi sikia urao
Mangoko watekwe basi sikia urao
Kuwapea makali konyagi na kibao
Zikishika toa kutu rungu nimembao

Mangoko wabebwe basi sikia urao
Mangoko watekwe basi sikia urao
Kuwapea makali konyagi na kibao
Zikishika toa kutu rungu nimembao

Verse Two

Nasikia urao ju kwanza siko tao
Cheki niko ma area kwa meza ni mathao
Si unakijuwa nina na mangoko wanachekesha mathayo
Ukinyanya si kibonoko kan kan mara mbao

Niki shapiga chuom kwanza manze fom
Mi hu washa kindom kwanza ki-pure kibom
Cheki waria hane si unajua nabonga sana
Siwezi bonga vizuri labda nitake chuom

Uliza Imbo
Walisema hana ball
Aki leo nakushow
Si analia ako na ball
Mtu ka mi na glow
Kam wrong kula blow
Nikienda kuperform ni ma Igwe wakibow

Chorus

Pigwa dudu rungu na fimbo ya farao
Wakuwe ni chura ama rangi ya Thao
Kakuwe na nyuma na sura ni nyang’au
Nazikemba nazibeba juu ka karao

Mangoko wabebwe basi sikia urao
Mangoko watekwe basi sikia urao
Kuwapea makali konyagi na kibao
Zikishika toa kutu rungu nimembao

Mangoko wabebwe basi sikia urao
Mangoko watekwe basi sikia urao
Kuwapea makali konyagi na kibao
Zikishika toa kutu rungu nimembao

Verse Three

Dudu fisi sai mi ni simba
Kirimba kama caterpillar nawachimba
Do do ya jaba na jinka kilimba
Zikishika toa kutu ni tu kuririma

Walibonga wakisema nitachapa
Ona sai sherehe napiga tu za kipapa
Cheki tu kwa pori nimejipin makapa
Nyonyo yako jipa ju mi ni rapper

Chorus

Pigwa dudu rungu na fimbo ya farao
Wakuwe ni chura ama rangi ya Thao
Kakuwe na nyuma na sura ni nyang’au
Nazikemba nazibeba juu ka karao

Mangoko wabebwe basi sikia urao
Mangoko watekwe basi sikia urao
Kuwapea makali konyagi na kibao
Zikishika toa kutu rungu nimembao

Mangoko wabebwe basi sikia urao
Mangoko watekwe basi sikia urao
Kuwapea makali konyagi na kibao
Zikishika toa kutu rungu nimembao

Urao Lyrics Credit – Wakali Wao

ALSO, SING TO – Kamkoba Lyrics – Mbogi Genje Ft VDJ Jones – New Song 2020

Leave a Reply