Dogo Charlie Wana Parody Lyrics – Download Audio
Verse One
Leo nimekukamata
Pesa zangu utanipa
Mbona hutaki kulipa Deni
Simu hutaki kushika
Eti uniache na Visa
Leo mwenzangu utalipa Deni
Wiki jana we ulisema utanilipa
Ukiniona unapiga kona
Nabaki napumbazika
Nikija kwako hapo hapo nakasirika
Ukora wako na ujanja wako
Ukiniona unanitoroka Ehh!!
Chorus
Bana bana wewe bana
Mbona sa tunagombana
Mi na we tutakosana
Pesa zangu ndo nataka
Bana bana wewe bana
Mbona sa tunagombana
Mi na we tutakosana
Pesa zangu ndo nataka, Aha!!
Verse Two
Mimi nilidhani hizo pesa rafiki utalipa
Maradhi, ulitibiwa na dawa ukapewa ukapona
Saahii, umenipa hasara ajira sina tena
Sina kazi, umeangusha biashara nianze wapi tena
We nilipe, mi nisepe, usinisumbue sinyamazi
We umenona na mi nakonda
Simu nipe nifulize
We mwanaume tuheshimiane
Pesa zangu unilipe
Mi nataka unilipe
Zangu nipe niondoke
Chorus
Bana bana wewe bana
Mbona sa tunagombana
Mi na we tutakosana
Pesa zangu ndo nataka
Bana bana wewe bana
Mbona sa tunagombana
Mi na we tutakosana
Pesa zangu ndo nataka, Aha!!
Verse Three
Ukitaka nikuache nilipe wewe
Ukipenda ufulize unilipe pesa
Pesa zangu lazima unirudishie
Leta pesa niringe nifurahie
Ukitaka nikuache nilipe wewe
Ukipenda ufulize unilipe pesa
Ata Wizly atuone afurahie
Leta pesa mi niringe nijivunie
Dogo Charlie Wana Parody Lyrics
ALSO, SING TO – I Miss You Lyrics – Eric Omondi