Home GENERAL Weka Lyrics – Ssaru – New Song January 2020

Weka Lyrics – Ssaru – New Song January 2020

by Louis
Weka Lyrics

Contents

Weka Lyrics – Ssaru

Mi ndio waiter unataka kitu gani
Weka order naleta tu mezani
Utakula hapa ama utakula nyumbani
Utadishi solo ama utaita jirani

Weka weka weka weka order mi naleta
Leta leta
Weka weka weka weka order mi naleta
Leta leta

Weka Lyrics Verse One

Niko na flat tummy we sema niko njaa
Na ninabonga kilami na nimetoka Dar
Mi ni antisocial nasema yani staki salam
Na kama uko na beef nakuja na royco madam

Washa kindukulu tuchome tumedi kiplani
Mi ni kuku we ni jogoo wa mashinani
Na mi chuchumaa ni kama nataga mayai
Washa mshumaa giza imezidi uku ndani

Mi ni msupuu siogopi dudu
Siezi peana respect kwa manugu Siezi try
Kukuimpress we sio mungu
Siezi try kukuundress ka we sio wangu

Nimekam kuaddress ndugu zangu
Mnaniskiza ju mnapenda style zangu
Niko Unique Si mnafanya maajabu
Niaje mafans si mnapenda ngoma zangu

Niaje mafans
Si mnapenda ngoma zangu
Niaje mafans
Si mnapenda ngoma zangu

Chorus

Mi ndio waiter unataka kitu gani
Weka order naleta tu mezani
Utakula hapa ama utakula nyumbani
Utadishi solo ama utaita jirani

Weka weka weka weka order mi naleta
Leta leta
Weka weka weka weka order mi naleta
Leta leta

Weka Lyrics Verse Two

Ssaru wa manyaru amekuja kama hitler
Nimeleta war cheki venye nawatisha
Nimekam na kindom kiko kwenye tshirt
Na nabonga ni kama mi niko na speaker

Mi ni drinker, nawakunywa since day one kitanker
Nitawafanyia tu venye mi nataka
Ju najua nyinyi wote ni mastalker
Nawaditch tu kama taka taka

Mkinihata, mtanifuata
Mnipanue kama miguu za bata
Mnitoboe manze mniwache na punture
Na mnajua huku akuna kiraka

Kuna kishada, nimekiwasha
Kimenishika mpaka shadow inanihepa
Kimbichwa kinafanya mi nacheka cheka

Chorus

Mi ndio waiter unataka kitu gani
Weka order naleta tu mezani
Utakula hapa ama utakula nyumbani
Utadishi solo ama utaita jirani

Weka weka weka weka order mi naleta
Leta leta , aaah
Weka weka weka weka order mi naleta
Leta leta, aah

Mi ndio waiter unataka kitu gani
Weka order naleta tu mezani
Utakula hapa ama utakula nyumbani
Utadishi solo ama utaita jirani

Weka weka weka weka order mi naleta
Leta leta , aaah
Weka weka weka weka order mi naleta
Leta leta, aah

Pika pakua peleka mezani, Pika
Pakua peleka mezani
Pika pakua peleka mezani
Pika pakua peleka mezani

ALSO, SING TO: Controller Lyrics – Willy Paul – New Song 2020

Credit: Ssaru

Related Posts