Home NEWS Wenge Lyrics – Jay Melody

Wenge Lyrics – Jay Melody

0
Wenge Lyrics
wenge jay melody

Wenge Lyrics – Jay Melody

Vile moyo unaputa
Najionea sana huruma
Nakaa chini nalia
Najiangalia sijitamani

Chini nimechimba
Natafuta mzizi ooh
Najitafutia dawa
Usinga kwa hirizi oh

Najiita mjinga
Jay acha utoto
Najiona mjinga
Wenge kimtindo

Ata tusiwe wapenzi
Mama ujue naumia
Umeondoa mchu mama
Mama ngazi inaachia

Wenge Lyrics – Jay Melody

Leo naenjoy upendo
Mi nachezewa hisia
Penzi langu mama
Natamani irudi zamani

Haa beiby ayaya
Oooh beiby oooh
Inachuma ayaya
Nakosa amani oooh

Haa beiby ayaya
Inaniuma oooh
Najioneaga tu mabalaa ayaya
Aah hunnie oooh(Oooh mapenzi)

Wenge Lyrics – Jay Melody

Si mapenzi majani
Ila penzi lako ngumu kung’oka
Huwa ninalia sana nikikumbuka tulipotoka
Ningepata mwandani ila penzi lako linanyoosha

Usinifanyie mimi hivi, jua vibaya
Nitoe kwa ubaya, sweety
Mapenzi ndio haya
Na basi unisamehe mwaya
Mama mapenzi ndio haya

Ata tusiwe wapenzi
Mama ujue naumia
Umeondoa mchu mama
Mama ngazi inaachia

Leo naenjoy upendo
Mi nachezewa hisia
Penzi langu mama
Natamani irudi zamani

Haa beiby ayaya
Oooh beiby oooh
Inachuma ayaya
Nakosa amani oooh

Haa beiby ayaya
Inaniuma oooh
Najioneaga tu mabalaa ayaya
Aah hunnie oooh(Oooh mapenzi)

ALSO, SING TO Tekenya Lyrics – Lava Lava

Credit: JAY MELODY

Leave a Reply