Contents
We have written the best willy paul chuchuma lyrics below. You will without doubt fall in love with our willy paul chuchuma lyrics. Enjoy and remember to come back for more sweet lyrics. We provide the best lyrics.
Hawa mabinti wanazubaa zu
Huku na kule wanavuruga sana
Hawa mabinti wananyongesha bisha
Huku na kule wanavuruga sana
Chorus
Vera Sidika chuchuma(Chuchumaa)
Huddah mama chuchuma(Chuchumaa)
Wema Sepetu chuchuma(Chuchumaa)
My African Nandy eehh
Verse One
Anataka pick it up, pick it up
Baby nikiangusha pick it up, pick it up
Nikupe moto zaidi ya konki fire, pick it up
Njoo kwa bedi nikulishe gyal pick it up
Mimi simba mwenye motion, chuchuma
Nakuna kwenye motion, chuchuma
Na kama ngumu mi napaka lotion, chuchuma
Mi ni mkunaji bwana slow motion, chuchuma
Panda pipa nakupapapasa
Chuchuma nikutakase
Chukua penzi langu nikupakate
Eeeh nikupige mate
Chorus
Vera Sidika chuchuma(Chuchumaa)
Huddah mama chuchuma(Chuchumaa)
Wema Sepetu chuchuma(Chuchumaa)
My African Nandy eehh
Verse Two
My baby chunga usivunje mifupa, ukichuchuma
Nikupe kwenye kiti ama kitandani, toto chuchuma
Willy niko fire daka risasi
Baby shika koti nikukune basi
Usiwe mjinga ka kijana mnono mfupi Na mwizi mbaya eeeh Funny boy
Napenda unavyopepeta aii
Napenda unavyosokota, sokoa sokoa
Napenda unavyolia yeii eeh
Kila unapo chuchuma iye iye
Wananiita Pozee rafiki ya upele
Utalia nikikata na wembe
Nikikata nawacha kidonda
Usijifanye hukumbuki mkunaji
Si nilikukuna ukamwaga na maji
Pozee, kijana bomba
Mwana f– machine(ehe), fire machine(ehe)
Swag machine(ehe), chwada machine
ALSO READ: Shilingi Mbosso lyrics featuring Reekado Banks
Chorus
Vera Sidika chuchuma(Chuchumaa)
Huddah mama chuchuma(Chuchumaa)
Wema Sepetu chuchuma(Chuchumaa)
My African Nandy eehh
Last Chorus
Vera Sidika chuchuma(Chuchumaa)
Huddah mama chuchuma(Chuchumaa)
Wema Sepetu chuchuma(Chuchumaa)
My African Nandy eehh
Ending
Chuchuma Chuchuma
Chuchuma Chuchuma
Chuchuma, chuchuma,
Chuchuma, chuchuma,
Chuchuma, chuchuma,
chuchuma, chuchuma
ARTIST: WILLY PAUL