Home NEWS Yes Bana Lyrics – Khaligraph Jones Ft Bien – New Song 2020

Yes Bana Lyrics – Khaligraph Jones Ft Bien – New Song 2020

0
Yes Bana Lyrics

Yes Bana Lyrics – Khaligraph Jones Ft Bien

Ooh yeah
Motiff turn me on
Em headphones Bro
Wharrup

Yes bana, yes bana, yes bana, yes bana, yes bana, yes bana

Verse One

Hii mwaka nimejam na sijali, yes bana
I swear nimekam na makali, yes bana
Naona mafan wanaswali, yes bana
Snitch anarun kwa askari, yes bana

Look mi napiga hatari, uuuu
Oops nishalipa mahari, iyee
Dem nishapata wa kumarry, yes bana
Mamacita joh ni chupa kushinda Zari, yes bana

Mi niko na flow kali kali, yes bana
Mi hupiga show mbali mbali,
Yes bana, Mi niko na doo na magari, yes bana
We unahate na una soo kwa mshari, hehe

Ntapiga collabo na Fally, raaaa
Then ngoma na Dolla Kabarry, omollo
Arrow bwoy kanitaka juacali, yes bana
Play KG jo na si tafadhali, yes bana

Niaje watu wangu wa Arsenali, yes bana
Season ni yetu msiworry, yes bana
Mi nishawapashia habari, yes bana
Ule kijana hodari, yes bana

Lazima tuishi kifahari, yes bana
Doo nina links na omarii, yes bana
Biz pia napiga na Passari, yes bana
Veve nashikisha na maariff, yes bana

Chorus 

2020 tuko key, yes bana
Biene man na OG, yes bana
Itabidi mumetii, yes bana
Ju sisi ndio committee, yes bana

And they got nothing on we, yes bana
Jogoo wa shamba anawika mjini, yes bana
Manoti si mashillingi, yes bana
Kuna mashore kwa wingi

Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper, yes bana

Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper

Yes Bana Lyrics Verse Two

Buda si huball ka Lukaku, yes bana
Mtaa mi huchill na mafiatu, yes bana
Gangstar Timber ndio kiatu, yes bana
Tunapiga ginger na shaku, yes bana

Niko na mangoma za power, uuu
Wanauliza mbona madawa, uuu
Vile nimeshona visawa, iyee
Flight ni kaa niko na mabawa

Mi ni ras jo ni dredi tu sina
Na nishawahi kuwa thegi masimba
Najua mapedi na jina, yes bana
Either way hamuwezi nishinda, yes bana

Ukikuja East mi Kamanda, yes bana
Try kunidiss pia ni blunder, yes bana
Fom ni mazishi na matanga
Na mi sina beef na Ohanga

Ohanga hunitaki kwa nini, yes bana
Mbona usifanye tracki na mimi, yes bana
Tutop hizi chart za mjini, yes bana
After that we’ll be happy i mean it, yes bana

Sitaki interview za gazeti, no
Maswali za ufala hazileti, no
Mi huomba Ka Ndinye wa Nzeki, uuu
G.O.A.T ka Ronaldo na Messi, prrr

Nani mwingine ka mimi, hakuna
Mafuta napaka marini, eeh
Guts shinda Rosa na Timmy
Mi hurap kama hover na nyinyi?

Shinski collabo tufanye, yes bana
Tushike from Dago to Kani, yes bana
Into bradhangu wasema ni?, yes bana
Usitry kunishow haiwezekani, yes bana

Huddah simu hashiki, yes bana
Anadhani mi nataka kumpiga miti, yes bana
Mi nina wife jo sipendi hizo kiki, yes bana
Am done with this shit jo Oriti, yes bana

Chorus 

2020 tuko key, yes bana
Biene man na OG, yes bana
Itabidi mumetii, yes bana
Ju sisi ndio committee, yes bana

And they got nothing on we
Jogoo wa shamba anawika mjini
Manoti si mashillingi
Kuna mashore kwa wingi

Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper, yes bana

Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper

2020 tuko key, yes bana
Biene man na OG, yes bana
Itabidi mumetii, yes bana
Ju sisi ndio committee, yes bana

And they got nothing on we, yes bana
Jogoo wa shamba anawika mjini, yes bana
Manoti si mashillingi, yes bana
Kuna mashore kwa wingi

Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper, yes bana

Marijuana pon di corner, yes bana
Mbogi nzima inachoma, yes bana
Inatupandisha chopper, yes bana
In the city si ndio hopper

Yes Bana Lyrics CreditKhaligraph Jones and Bien

ALSO, SING TOMasharti Lyrics – Vivian Kenya – New Song 2020

Leave a Reply